• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ilala Municipal Council
Ilala Municipal Council

The United Republic of Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Manispaa ya Ilala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Council Strategies
    • Mawasiliano
      • Wakuu wa Idara na Vitengo
      • Watendaji wa Kata
      • Maafisa Tarafa
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Administration and Personnel
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Agriculture, irrigation and Coperative
      • Livestock and Fisheries Development
      • Land and Planning
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Solid Waste Management and Environmental Conservation
    • Units
      • Legal
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Information Technology and Communication
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Administration Area
  • Fursa na Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Historical Buildings
      • Landmarks
      • Museums and Art Galleries
      • Seafront Development
      • Libraries and Cultural Centers
    • Kilimo
    • Business and Marketing
    • Housing Area
    • Bus Stand
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Kifedha
    • Masoko
    • Usafirishaji
  • Madiwani
    • All Councilors
    • Council Committee
      • Town Planning and Environmental
      • Finance and Administration
      • Economical and Social Welfare
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ndogo za Halmashauri
    • Council Meetings
    • Mayor's Timetable
    • Orodha ya Mameya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria
    • By laws
    • Miongozo
    • Sera
    • Nyaraka
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Taratibu
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Bajeti ya Manispaa
    • Mpango Mkakati
    • Socio-Economic Profile
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
  • Wilaya
    • Majukumu ya Ofisi ya Mkuu wa Wilaya

Huduma za Elimu

1. IDARA YA ELIMU YA MSINGI

              HUDUMA ZINAZOTOLEWA NA IDARA YA ELIMU YA MSINGI;

  1. Kufuatilia na kusimamia utekelezaji wa taarifa za ukaguzi wa shule za msingi.
  2. Kusimamia utekelezaji wa Sera ya Elimu na miongozo ya Elimu rasmi na elimu nje ya mfumo rasmi pamoja na uboreshwaji wa Taaluma
  3. Kuratibu na kusimamia uendeshaji wa majaribio, mitihanai ya ndani, mkoa na Taaifa Elimu ya msingi.
  4. Kuratibu na Kusimamia ufanyikaji wa mashindano ya Taaluma kwa shule za msingi yanayoadhimishwa katika kilele cha wiki la elimu kila mwaka.
  5. Kuratibu na kusimamia Elimu nje ya mfumo rasmi kupitia mpango wa elimu kwa walioikosa (MEMKWA)
  6. Kusimamia na kuendesha Uwiano wa Kielimu kati ya Jamii (MUKEJA) kupitia vikundi vya ujasiriamali.
  7. Kuratibu na Kusimamia ufanyikaji wa michezo na mashindano ya michezo  ya UMITASHUMTA kwa shule za msingi.
  8. Kusimamia na kuhakikisha walimu  na watumishi wengine wasio. Walimu wa shule za msingi wanafanyiwa tathmini ya wazi ya utendaji kazi (OPRAS).
  9. Kuratibu na kusimamia ukusanyaji, uchambuzi na utumaji/utoaji wa  takwimu sahihi za Elimu ya msingi.
  10. Kusimamia na kufuatilia ukarabati, upanuzi na ujenzi wa shule za msingi.
  11. Kuratibu na kusimamia uagizaji na usambazaji wa vifaa vya shule kufuatana mahitaji ya shule.
  12. Kufanya makisio ya walimu na walimu wa ufundi  kulingana na idadi ya shule na Wanafunzi.
  13. Kusimamia usajili wa shule za Serikali na zisizo za Serikali
  14. Kukusanya takwimu, kuchambua na kuunganisha
  15. Kushughulikia uhamisho wa ndani na nje ya Mkoa kwa wanafunzi
  16. Kuhakikisha haki za walimu zinalipwa kwa wakati 

Mawasiliano Idara ya Elimu Msingi bonyeza hapa; Ofisi Kuu, Walimu Wakuu Shule za Ilala Vijijini na Shule za Mjini  


2. IDARA YA ELIMU YA SEKONDARI

HUDUMA ZINAZOTOLEWA NA IDARA YA ELIMU SEKONDARI;

  1. Kufuatilia na kusimamia utekelezaji wa taarifa za ukaguzi wa shule za sekondari.
  2. Kusimamia utekelezaji wa Sera ya Elimu na miongozo ya Elimu pamoja na uboreshwaji wa Taaluma
  3. Kuratibu na kusimamia uendeshaji wa mitihani (ndani na Taifa) Elimu ya Sekondari.
  4. Kuratibu na Kusimamia ufanyikaji wa mashindano ya Taaluma kwa shule za sekondari.
  5. Kuratibu na Kusimamia ufanyikaji wa michezo na mashindano ya michezo  ya UMISSETA kwa shule za sekondari.
  6. Kusimamia na kuhakikisha walimu  na watumishi wengine wasio. Walimu wa shule za sekondari wanafanyiwa tathmini ya wazi ya utendaji kazi (OPRAS).
  7. Kuratibu na kusimamia ukusanyaji, uchambuzi na utumaji/utoaji wa  takwimu sahihi za Elimu ya sekondari.
  8. Kusimamia na kufuatilia ukarabati, upanuzi na ujenzi wa shule za sekondari.
  9. Kuratibu na kusimamia uagizaji na usambazaji wa vifaa vya shule kufuatana mahitaji ya shule.
  10. Kufanya makisio ya walimu kimadaraja na kimasomo.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA- MANISPAA YA ILALA ( M ) 2020 November 21, 2020
  • MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA- MANISPAA YA ILALA ( V ) 2020 November 21, 2020
  • Sheria ndogo ya kudhibiti Ombaomba inayopendekezwa December 18, 2020
  • MALIPO YA KODI ZA MANISPAA KWA KIPINDI CHA ROBO YA PILI December 10, 2018
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • Rais Magufuli aweka jiwe la msingi ujenzi wa soko la Kisutu

    February 25, 2021
  • Madiwani Ilala wapitisha taarifa ya utendaji kazi kwa kipindi cha Oktoba hadi Disemba, 2020

    February 17, 2021
  • Kamati ya Uchumi na Huduma za Jamii Manispaa ya Ilala yafanya ziara ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo

    February 01, 2021
  • MKUU WA WILAYA YA ILALA AKAGUA MASOKO KATA YA LIWITI

    January 27, 2021
  • Angalia Yote

Video

MANISPAA
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Majengo ya Kihistoria
  • Video za matukio mbalimbali
  • Mradi wa maboresho ya mtaa wa Samora
  • Huduma za kifedha
  • Huduma za Usafirishaji
  • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Ratiba ya Vikao vya Halmashauri
  • Maadili ya Msingi ya Halmashauri

Viunganishi vinavyoelekeana

  • Tovuti ya Ikulu
  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara Kuu ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 Mission/Sokoine

    Anuani ya Posta: 20950 Dar es Salaam, Tanzania

    Simu: 2128800

    Simu ya Kiganjani: +255713537815 / +255

    Barua Pepe: info@imc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Siri
    • Kanusho
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 IMC . All rights reserved.