• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ilala Municipal Council
Ilala Municipal Council

The United Republic of Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Manispaa ya Ilala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Council Strategies
    • Mawasiliano
      • Wakuu wa Idara na Vitengo
      • Watendaji wa Kata
      • Maafisa Tarafa
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Administration and Personnel
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Agriculture, irrigation and Coperative
      • Livestock and Fisheries Development
      • Land and Planning
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Solid Waste Management and Environmental Conservation
    • Units
      • Legal
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Information Technology and Communication
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Administration Area
  • Fursa na Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Historical Buildings
      • Landmarks
      • Museums and Art Galleries
      • Seafront Development
      • Libraries and Cultural Centers
    • Kilimo
    • Business and Marketing
    • Housing Area
    • Bus Stand
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Kifedha
    • Masoko
    • Usafirishaji
  • Madiwani
    • All Councilors
    • Council Committee
      • Town Planning and Environmental
      • Finance and Administration
      • Economical and Social Welfare
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ndogo za Halmashauri
    • Council Meetings
    • Mayor's Timetable
    • Orodha ya Mameya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria
    • By laws
    • Miongozo
    • Sera
    • Nyaraka
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Taratibu
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Bajeti ya Manispaa
    • Mpango Mkakati
    • Socio-Economic Profile
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
  • Wilaya
    • Majukumu ya Ofisi ya Mkuu wa Wilaya

Madiwani Ilala wapitisha taarifa ya utendaji kazi kwa kipindi cha Oktoba hadi Disemba, 2020

Posted on: February 17th, 2021

Na: Judith Damas

Halmashauri ya Manispaa ya Ilala  imetekeleza miradi ya maendeleo katika kata zake ili kuhakikisha huduma zote za kijamii zinawafikia wananchi wake kwa uharaka zaidi na pia kuhakikisha suala la ukusanyaji wa mapato katika Halmashauri ya Manispaa ya Ilala linatekelezwa kikamilifu.

Hayo yamebainishwa na wenyekiti wa kamati za kudumu za Halmashauri wakati wakiwasilisha taarifa za Miradi ya maendeleo iliyotekelezwa na Manispaa ya Ilala kwa kipindi cha kuanzia oktoba 2020 hadi Disemba  2020 katika kikao cha Baraza la Madiwani cha robo ya pili cha kupitia taarifa za utendaji kazi kilichofanyika leo tarehe 17 februari 2021 katika ukumbi wa Mikutano wa Arnatouglou-Mnazi Mmoja Jijini Dar es salaam.

Aidha, akiwasilisha taarifa ya utendaji kazi ya kamati ya fedha na utawala kwa niaba ya mwenyekiti wa kamati hiyo Mh.Saady Khimji, amesema kwa kipindi cha robo ya pili, Manispaa ya Ilala imeweza kutekeleza miradi mbalimbali ya kimaendeleo kama  vile ujenzi wa soko la kisutu, ujenzi wa  vyumba vya madarasa, ujenzi wa zahati ya Bangulo na pia ujenzi wa barabara mbalimbali za mitaa kupitia mradi wa   DMDP Manispaa ya Ilala ili kuhakikisha huduma zote za kijamii zinawafikia wananchi kiurahisi zaidi.

Hata hivyo, Halmashauri ya Manispaa ya Ilala imefanikiwa kupunguza maambukizi ya ugonjwa wa malaria kwa wamama wajawazito na pia kununua dawa muhimu zitakazoweza kuwakinga mama na mtoto, hayo yamesemwa na  mwenyekiti wa kamati ya uchumi na huduma za jamii Mh.Stephen Mushi wakati akiwasilisha taarifa ya utendajin kazi ya kamati hiyo.

Pamoja na hayo, kamati ya uchumi na huduma za jamii imeanzisha vikundi 120 kwa ajili ya kuwapa fursa watu wasio na ajira hususani vijana, wanawake na watu wenye ulemavu katika Halmashauri ya Manispaa ya Ilala kwa kuwapatia mikopo isiyokuwa na riba.

Vilevile, Halamshauri ya Manispaa ya Ilala imeendelea kuhakikisha maeneo yake yote yanakuwa masafi kwa kuanza kutoa elimu ya umuhimu wa usafi wa mazingia ambayo imekuwa ikitolewa kwa wananchi wa Maniaspaa ya Ilala ili kuhakikisha wanatunza mazingira na kuyaweka katika hali ya usafi kwa ajili ya kulinda afya zetu, hayo ameyasema mwenyekiti wa kamati ya mipango miji na mazingira Mh. Sultan Salim.

Kikao cha Baraza la Madiwani kilipitia taarifa hizo na kuzipitisha



 

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA- MANISPAA YA ILALA ( M ) 2020 November 21, 2020
  • MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA- MANISPAA YA ILALA ( V ) 2020 November 21, 2020
  • Sheria ndogo ya kudhibiti Ombaomba inayopendekezwa December 18, 2020
  • MALIPO YA KODI ZA MANISPAA KWA KIPINDI CHA ROBO YA PILI December 10, 2018
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • Rais Magufuli aweka jiwe la msingi ujenzi wa soko la Kisutu

    February 25, 2021
  • Madiwani Ilala wapitisha taarifa ya utendaji kazi kwa kipindi cha Oktoba hadi Disemba, 2020

    February 17, 2021
  • Kamati ya Uchumi na Huduma za Jamii Manispaa ya Ilala yafanya ziara ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo

    February 01, 2021
  • MKUU WA WILAYA YA ILALA AKAGUA MASOKO KATA YA LIWITI

    January 27, 2021
  • Angalia Yote

Video

MANISPAA
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Majengo ya Kihistoria
  • Video za matukio mbalimbali
  • Mradi wa maboresho ya mtaa wa Samora
  • Huduma za kifedha
  • Huduma za Usafirishaji
  • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Ratiba ya Vikao vya Halmashauri
  • Maadili ya Msingi ya Halmashauri

Viunganishi vinavyoelekeana

  • Tovuti ya Ikulu
  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara Kuu ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 Mission/Sokoine

    Anuani ya Posta: 20950 Dar es Salaam, Tanzania

    Simu: 2128800

    Simu ya Kiganjani: +255713537815 / +255

    Barua Pepe: info@imc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Siri
    • Kanusho
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 IMC . All rights reserved.